Song Of | Muu Flow Ft Kusah – Sielewi | Download

DJMakiss.Com is a site for the distribution and promotion of Tanzanian, Kenyan, Nigerian, Uganda and Rwandan Music online, download new songs every day of Bongo Fleva, Amapiano, Gospel, Hip Hop, Singeli, Kwaya, RnB, Taarab, Asili, you the artist, welcome to upload your songs on our website, contact us on whatsapp +255718308551
Song Of | Muu Flow Ft Kusah – Sielewi | Download

Song Of | Muu Flow Ft Kusah – Sielewi | Download


Muu Flow Young and talented Muu Flow, a performer, writer, and artist, released a new song titled Sielewi with Kusah.

Song Of | Muu Flow Ft Kusah – Sielewi | Download


 
Lyrics
Sielewi ft Kusah - Muu Flow:


Kusah Tena

Naona nimefoli nimefall nimefall in love

Mimi mwenzenu

Nimefoli nimefall nimefall in love

Aaaaah weee umenipa nini,

Maana sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu,

Vitaamu ni vingi , ila sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu....

Nime sacrifice moyo, roho mpaka Figo

Boo ukiniacha ujuwe iyo ni pigo,

Wewe ndo umeniondolea mzigo,

More love, less igoo

Unajuwa kukupenda ndo kitu natakaa...

The way you wein your body, si uko na talanta,

Wanibebe machele siku wewe ukiniacha

Si unajuwa wewe mnyamwezi sa ivi ishajikataa,

Busy kama wee ni adimuu ukiongezea ndimu

Minyama nyama flani unanipandishanga stimu,

So siutawekwa kwenye simu body flani ya gym.

Natural color skin no cream

Si unanipaa raaha unavyo lala kifuani

Prince melody nakupa burudani

Hata waseme nii si hatuachani

Penzi letu tuna paa paa angani

Aaaaah weee

Umenipa nini maana sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu

Vitaamu ni vingi ila sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu

Ingekuwa chungu basi ungesema kwa nini

Nakunipenda mimi ati wanauliza kwa nini

Kwa moyo siti ya mbele imekaa mimi

Ili tuwe sawa Dangote atapiga chini

Naji chimbia migodi , maama ilo body

Life tight ila sishindwi kulipa Kodi

Kama ni vita mi sisiye wewe ndo nodi

Ooooh my goddy makopa kopa ya emoji

Si unanipaa raaha unavyo lala kifuani

Prince melody nakupa burudani

Hata waseme nii si hatuachani

Kwa penzi letu tuna paa paa angani

Aaaaah weee

Umenipa nini maana sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu

Vitaamu ni vingi ila sielewi mi

Kila nikikaa inanijia inanifanya tabasaamu

Beats

ooooh mmmh.

Post a Comment

0 Comments